Silaa, Polepole, Gwajima wahojiwa na kamati maadili ya wabunge CCM
Na Barnabas Kisengi ,Dodoma KAMATI ya maadili ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imekamilisha zoezi la kuwahoji Wabunge wa chama hicho akiwemo Askofu Josephat Gwajima Mbunge wa Jimbo la Kawe Dar-es-salaam, Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar-es-salam Jerry Silaa na aliyekuwa katibu wa NEC Itifaki na uenezi Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa. Akizungumza na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed