Silaa, Polepole, Gwajima wahojiwa na kamati maadili ya wabunge CCM

Na Barnabas Kisengi ,Dodoma  KAMATI ya maadili ya  Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imekamilisha zoezi la kuwahoji  Wabunge wa chama hicho akiwemo Askofu Josephat Gwajima Mbunge wa Jimbo la Kawe Dar-es-salaam, Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar-es-salam Jerry Silaa na aliyekuwa katibu wa NEC Itifaki na uenezi Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa. Akizungumza na